Uwindaji Haramu

Maafisaa wa  shirika la wanyama pori nchini wamemuua kwa kumpiga risasi  mshukiwa mmoja mwindaji haramu katika  mbuga ya solio ilioko laikipia mashariki.  Bwana huyo alikuwa miongoni mwa wenzake watatu wanaodaiwa kuingia kinyemela katika mbuga hiyo  jana usiku kwa nia ya kuwawinda vifaru weusi ambao kwa sasa wanasemekana wamebaki mia sita na thelathini tu katika mbuga zote nchini.

Related Topics

Uwindaji Haramu