Kiplagat Angatuka

Baada ya vuta ni kuvute iliyokithiri kwa miezi, hatimaye mwenyekiti wa tume ya ukweli haki na maridhiano ameamua kung’atuka mamlakani ili kutoa fursha kwa uchunguzi dhidi yake kuendeshwa kwa wazi. Katika arifa kwa vyumba vya habari balozi Kiplagat alisema kuwa anasimama kidete kuwa hana hatia yoyote na kudai kuwa anaunga mkono hatua ya kuundwa kwa jopo la kumchunguza ili kumaliza shutuma ambazo kwa muda zimekuwa zikimkabili.

Related Topics

Kiplagat Angatuka