Polisi Wapokea Mafunzo Ya Haki Za Binadamu

Waziri wa usalama wa kitaifa Profesa George Saitoti ametangaza kuanizhswa kwa mpango wa kuwafunza maafisa  wa polisi kuhusu  haki za binadamu. Saitoti alisema hatua hiyo inaambatana na matakwa ya katiba mpya. Aidha kikosi hicho kimmekumbwa na historia ya dhulma dhidi ya wananchi na kuzua tetesi hata kimataifa kwa ukiukaji wa haki za binadamu kukithri.