Uchunguzi Wa Kinale

Kamati ya bunge kuhusu usalama alasiri hii ilifanya  mkutano na hatimaye ziara katika msitu wa Kinale palipopatikana miili ya vijana kumi na wane hivi majuzi. kamati hiyo ilifanya ziara hiyo kwa minajili ya kufanya uchunguzi wake na kutoa mapendekezo bungeni  baada ya kisa hicho kilichowashtua wenyeji wa eneo bunge la lari huko Kiambu ambapo madai yalikuwepo kwamba vijana hao waliuwawa na polisi baada ya kukamatwa na miili hiyo kutupwa katika msitu huo wa Kinale.

Related Topics

Uchunguzi Wa Kinale