Commitee Of Experts Dinner Melly Attends

Kamati ya wataalam wa katiba inakamilisha utenda kazi wake hapo siku ya jumatatu ijayo.Viongozi kadhaa humu nchini walihudhuria hafla ya kuiaga huku kamati hiyo ikilimbikiziwa sifa wakati wa utendakazi wake. Akihudhuria hafla hiyo naibu mwenyekiti wa Standard Group Paul Melly aliwataka wanasiasa kutoingiza mwingilio wa kisiasa kwenye harakati za kufanikisha kupatikana kwa katiba mpya.