Afisi Ya Uchunguzi

Mswada wa kuunda ofisi ya mkuu wa uchunguzi wa vifo nchini na katika kaunti zote umeundwa ili kuhakikisha vifo vinavyozua utata vinachunguzwa.Aidha mswada huo uanuia kuhakikisha haki kwa umma.Halikadhalika unawadia wakati ambapo zaidi ya miaka 20 baadaye maswali mengi yanajiri kuhusu vifo vya viongozi kama vile JM Kariuki, Robert Ouko na Askofu Mkuu Alexandar Muge kati ya kesi zengine zilizokiuka haki za kibinadamu.

Related Topics

Afisi Ya Uchunguzi