Kesi Dhidi Ya Katiba

Mahakama imetupilia mbali kesi iliyowasilishwa ikitaka kusimamishwa kwa sherehe ya kesho ya kuidhinisha katiba mpya. Majaji watano waliotoa uamuzi wao jioni hii jijini Nairobi, wamesema kwamba  hakuna haja  ya kuiweka nchi katika taharuki wakati huu  ambapo katiba mpya inanukia nchini wakisema kwamba walalamishi kwenye kesi hiyo pia walikosa kulipa ada ya shilingi milioni mbili kama inavyohitajika kisheria.

Related Topics

Kesi Dhidi Ya Katiba