Mahakama imetupilia mbali kesi iliyowasilishwa ikitaka kusimamishwa kwa sherehe ya kesho ya kuidhinisha katiba mpya. Majaji watano waliotoa uamuzi wao jioni hii jijini Nairobi, wamesema kwamba hakuna haja ya kuiweka nchi katika taharuki wakati huu ambapo katiba mpya inanukia nchini wakisema kwamba walalamishi kwenye kesi hiyo pia walikosa kulipa ada ya shilingi milioni mbili kama inavyohitajika kisheria.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
- Unlimited access to all premium content
- Uninterrupted ad-free browsing experience
- Mobile-optimized reading experience
- Weekly Newsletters
- MPesa, Airtel Money and Cards accepted