×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Katiba: Marekebisho

Kupatikana kwa katiba mpya nchini bila shaka kumepokelewa kama muujiza ambao wachache wangeweza kubashiri kutimia kwake ikizingatiwa utata ambao umekuwa ukizingira marekebisho ya vipengee tata.Ni utata ambao bado unazingira katiba mpya huku viongozi waliopinga katiba wakiwa bado wanapigania marekebisho.itakumbukwa kwamba ni suala lili hili ambalo lilipelekea wakenya kusaka katiba mpya hasa baada ya katiba ya Lancaster kudaiwa kufanyiwa marekebisho kupita kiasi na hivyo kuibua suala jee marekebisho mapya yataweza kutekelezwa vipi pasi na kutia kitumbua mchanga?

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

Katiba: Marekebisho