Uavyaji Mimba

Tume ya kutetea haki za kibinadamu nchini KHCR imetoa ripoti inayoashiria kwamba asilimia tisini ya wanawake wameavya mimba, hii ni kutokana na utafiti uliotekelezwa katika kitongoji moja jijini Nairobi. N ripoti inayoangazia mambo halisi, wakati suala la uavyaji mimba likitawala katika siasa za katiba.

Related Topics

Uavyaji Mimba