The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Tume ya kutetea haki za kibinadamu nchini KHCR imetoa ripoti inayoashiria kwamba asilimia tisini ya wanawake wameavya mimba, hii ni kutokana na utafiti uliotekelezwa katika kitongoji moja jijini Nairobi. N ripoti inayoangazia mambo halisi, wakati suala la uavyaji mimba likitawala katika siasa za katiba.