Mauaji Ya 2008

Mkuu wa sheria Amos Wako ametangaza kutoridhishwa na maamuzi yaliyotolewa na mahakama kuhusiana na kuachiliwa huru kwa afisa wa polisi Edward Kirui aliyekuwa anakabiliwa na shtaka la mauaji ya waandamanaji mjini kisumu wakati wa ghasia za baada ya uchaguzi. Hata hivyo amesema kuwa sheria hairuhusu serikali kukata rufaa kuhusiana na maamuzi kama hayo. mkuu huyo wa sheria ametangaza kuamrisha kiongozi wa mashtaka wa serikali kutayarisha vyeti vinavyostahili ili kufuatilia kesi hiyo katika mahakama ya rufaa.

Related Topics

Mauaji Ya 2008