×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Mkenya Atekwa Nyara Somalia

Familia moja mjini Kakamega imeishi na hofu ya mwanao anayeaminika kuwa mikononi mwa wateka nyara nchini Somalia, yapata miaka mitatu sasa. Patrick Libole alitekwa nyara pamoja na muingereza Watson Murray, wakiwa kwenye kandarasi eneo la Juba. Kufikia sasa familia hiyo haijapokea ujumbe wowote kutoka kwa serikali kuhusiana na kisa hicho.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in