Moi Awashutumu Kamati Ya Wataalamu

Rais mstaafu daniel moi amekashifu tume ya wataalam kuhusu katiba akisema kwamba badala ya kuwaelimisha wakenya, tume hiyo imekuwa ikijishughulisha tuu na kampeni za kuiunga mkono rasimu hiyo. moi alisema haya alipofanya ziara katika eneo bunge la mosop