×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Mzozo Wa Mpaka Tharaka Tigania

Taharuki   na ukosefu wa usalama unazidi kutanda  miongoni mwa jamii  zinazoishi mpakani mwa tigania na tharaka huko Meru; na hata kupelekea vifo vya watu sita kufikia sasa.Waziri wa usalama George Saitoti  amefanya ziara katika eneo hilo kwenye juhudi za kujaribu kuhubiri amani bila ufanisi mkubwa. Mshukiwa  mmoja ameshatiwa nguvuni kufuatia   uhasama baina ya jamii hizo uliopelekea mamia kuhama makwao.
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in