Pokot Water Crisis

Wenyeji wa Pokot kaskazini sasa wameanza kupokea maji ya bure kutoka kwa serikali kwenye huduma inayotarajiwa kuendelea kwa muda wa miezi mitatu ijayo. Wakati huo huo serikali inadai kutumia zaidi ya shillingi millioni tatu kukarabati mabwawa ya maji katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.

Related Topics

Pokot Water Crisis