Forest cover situation

Tukisalia katika suala la misitu nchini, asilimia moja nukta saba pekee ndio imesalia kwa sasa ,na kulingana na wadadisi hivyo ni kumaanisha maafa kwa wakenya wengi.huku wakenya millioni kumi tayari wakikabiliwa na baa la njaa. Tayari mito kumi na mwiili inayotegemewa na wenyeji wa mkoa wa Riftvalley na magharibi inaelekea kukauka na licha ya hayo yote wanasiasa wanaoenekana kuegemea upande wa kisiasa huku wakenya wakikodolea majanga macho. Purity Mwambia anatuarifu kwa kina.