×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Read on the App

Marais wa kigeni wahudhuria Ibada ya kitaifa ya Mzee Moi

Hayati Mzee Daniel Toroitich Arap Moi ametajwa kuwa Kigogo wa Kisiasa, nguzo kuu ya maendeleo, amani na ushirikiano baina ya Kenya na mataifa ya Jumuiya ya Afrika.

Marais wa mataifa zaidi ya matano ya Afrika wamesema kuwa Mzee Moi alichangia pakubwa kuimarika kwa miungano ya maendeleo ya Bara la Afrika yakiwamo EAC, IGAD na COMESA.

Wakizungumza wakati wa Ibada ya Kitaifa ya Mzee Moi katika Uwanja wa Nyayo hapa jijini Nairobi, marais hao wakiongozwa na Yoweri Museveni wa Uganda wamemmiminia sifa tele Hayati Moi wakimtaja kuwa kiongozi aliyeleta amani nchini na kwenye mataifa ya Afrika.

Get Full Access for Ksh299/Week
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in