The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Hayati Mzee Daniel Toroitich Arap Moi ametajwa kuwa Kigogo wa Kisiasa, nguzo kuu ya maendeleo, amani na ushirikiano baina ya Kenya na mataifa ya Jumuiya ya Afrika.
Marais wa mataifa zaidi ya matano ya Afrika wamesema kuwa Mzee Moi alichangia pakubwa kuimarika kwa miungano ya maendeleo ya Bara la Afrika yakiwamo EAC, IGAD na COMESA.
Wakizungumza wakati wa Ibada ya Kitaifa ya Mzee Moi katika Uwanja wa Nyayo hapa jijini Nairobi, marais hao wakiongozwa na Yoweri Museveni wa Uganda wamemmiminia sifa tele Hayati Moi wakimtaja kuwa kiongozi aliyeleta amani nchini na kwenye mataifa ya Afrika.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.