×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Marais wa kigeni wahudhuria Ibada ya kitaifa ya Mzee Moi

Hayati Mzee Daniel Toroitich Arap Moi ametajwa kuwa Kigogo wa Kisiasa, nguzo kuu ya maendeleo, amani na ushirikiano baina ya Kenya na mataifa ya Jumuiya ya Afrika.

Marais wa mataifa zaidi ya matano ya Afrika wamesema kuwa Mzee Moi alichangia pakubwa kuimarika kwa miungano ya maendeleo ya Bara la Afrika yakiwamo EAC, IGAD na COMESA.

Wakizungumza wakati wa Ibada ya Kitaifa ya Mzee Moi katika Uwanja wa Nyayo hapa jijini Nairobi, marais hao wakiongozwa na Yoweri Museveni wa Uganda wamemmiminia sifa tele Hayati Moi wakimtaja kuwa kiongozi aliyeleta amani nchini na kwenye mataifa ya Afrika.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902