Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

NHIF yatangaza mabadiliko kadhaa katika utoaji wa huduma kwa wateja

Katika hatua ambayo inatarajiwa kuibua hisia mseto miongoni mwa Wakenya, Hazina ya Kitaifa ya Bima ya Afya, NHIF imetangaza mabadiliko kadhaa chini ya bima hiyo kukiwamo kupunguzwa kwa idadi ya watoto wanaonufaika na kadi ya wazazi wao kutoka kumi hadi watoto watano.

Mabadiliko hayo ambayo yalianza kutekelezwa tarehe mosi mwezi huu aidha yanamwidhinisha mke mmoja tu kunufaika na huduma za afya chini ya kadi moja.

Uamuzi huo uliafikiwa katika kikao maalum cha bodi ya NHIF tarehe 17 mwezi Desemba mwaka uliopita ambapo iliafikiwa kwamba iwapo familia itakuwa na watoto sita na zaidi, watano tu ndio watakaonufaika na bima hiyo huku waliosalia wakitakiwa kuongeza kiwango cha fedha wanazolipa kila mwezi.

Aidha, wanaokosa kulipa ada ya kila mwezi kwa kipindi cha miezi 12, uwanachama wao utafutiliwa mbali na kutakiwa kujisajili upya, hali inayomaanisha kwamba ataweza kuanza kunufaika na huduma hizo baada ya siku 90 baada ya kujisajili upya.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics