The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Hapa Kenya tumebarikiwa na wasanii wenye vipaji mbalimbali ambao tunafaa tujivunie uwepo wao katika maisha yetu. Tunao wasanii wa ucheshi, wanamziki na wengineo wanaotambulika sio hapa nchini pekee, bali pia kwenye mataifa mbali mbali ulimwenguni.
Tunao wanamuziki wanaoimba aina za kipekee za nyimbo kama vile Kapuka na Genge ambao kwa kawaida huimba kwa lugha ya mtaani maarufu Sheng. Wasanii wanaoimba kwa lugha za jamii mbali mbali za humu nchini kama vile Kijaluo, Kikuyu, Kikamba na Kiluhya pia wapo.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.