Kuhukumu ni kufanya lile jambo linaloitwa judgement. Ni ile hali ya kutoa uamuzi kuhusu jambo fulani linalohusu watu wengine. Vile vile, unaweza kuwa kati ya waathiriwa na ujipate ukihukumu mwenzio.
Kwa hivyo, hili ni jambo la kawaida maishani mwetu kwa sababu kila mtu huwa na mtazamo tofauti na mwenziwe kuhusu swala fulani.