The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Katika majengo ya Wizara ya Mazingira, upweke, na huzuni ndizo zilitanda, katika afisi yake, kiti chake na meza yake zilikuwa nadhifu, kila kitu kilipangwa vizuri, lakini zilikosa mwenyeji. michuki aliaga dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali moja hapa jijini nairobi baada ya kupata mshtuko wa moyo.michuki ni miongoni mwa wanasiasa wakongwe humu nchini aliyehudumu katika serikali tatu, kuanzia jomo kenyatta, moi, na kibaki. Wenzake serikalini, bungeni na viongozi hapa nchini walimiminia sifa kedekede kutokana na uwajibikaji na utendakazi wake. john michuki atazikwa nyumbani kwake kangema, kaunti ya muranga, jumanne ijaayo.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.