Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Ivory seized

Maafisa wa utoza ushuru KRA wamenasa shehena nyingine ya pembe za Ndovu katika bandari ya Mombasa . Pembe hizo mia saba ishirini na tano ni moja wapo ya shehena kubwa zaidi kupatikana na pembe za ndovu. Hii ni mara ya pili mwezi huu kupatikana kwa shehena kama hiyo . Idara ya usimamizi wa wanyama pori- kws inasema kizingiti kikubwa cha kukabiliana na biashara haramu ya pembe za ndovu ni uhafifu wa sheria iliopoa ambapo watuhumiwa wanapotiwa mbaroni hupewa faini ya kati ya shilingi elfu 2 hadi 30, ambazo wana uwezo wa kuzilipa- au kifungo cha miezi sita. KWS inasema afueni ni kupitishwa kwa mswaada wa wanayma pori unaotoa sheria kali kwa watuhumiwa.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics

Ivory seized