×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Bukhungu stadium renovations

Manispaa ya kakamega inapangia kufanya ukarabati kwa uwanja wa mpira wa bukhungu. Manispaa hiyo imekadiria kutumia shilingi milioni 200 kukamilisha shughuli hiyo ambayo itaanza wakati wowote kutoka sasa. Uwanja wa bukhungu ni uwanja wa nyumbani wa klabu ya ligi kuu ya western stima na timu zingine za daraja la chini katika eneo la kakamega.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in