Sofapaka Unveil New Coach

Hatimae klabu ya Sofapaka imemzindua mkufunzi mpya. sam ssimbwa ameanza rasmi kazi yake hii leo na kuahidi kuwa jukumu lake kuu ni kuhakikisha klabu hiyo imetetea taji iliyolishinda mwaka jana. Kocha huyo ambaye anachukua mahala pa Robert Matano alikiri kuwa ligi ya kenya ina ushindani mkubwa na hivyo basiitakua vigumu kwa timu yeyote ile kutetea taji.