The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Chama cha Jubilee leo kimeendeleza shughuli ya kuwakabidhi vyeti washindi wa uteuzi wa chama hicho katika maeneo mbalimbali nchini. Katika Kaunti ya Mombasa Shughuli hiyo ilikumbwa na utata baada ya chama hicho kukataa kutoa cheti kwa muwaniaji wa ubunge Nyali. Wawaniaji wa Kiti hicho Mohamed Salim maarufu Tenge na Omar Shallo, wote walitaka kukabidhiwa cheti, ingawa tangazo lilitolewa kwamba kulikuwapo na hitilafu, hivyo cheti hicho hakingeweza kutolewa.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.