Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

JUBILEE CHATOA VYETI ZAIDI HUKU WALIONYIMWA WAKILALAMIKA

Na Sophia Chinyezi

Chama cha Jubilee leo kimeendeleza shughuli ya kuwakabidhi vyeti washindi wa uteuzi wa chama hicho katika maeneo mbalimbali nchini. Katika Kaunti ya Mombasa Shughuli hiyo ilikumbwa na utata baada ya chama hicho kukataa kutoa cheti kwa muwaniaji wa ubunge Nyali. Wawaniaji wa Kiti hicho Mohamed Salim maarufu Tenge na Omar Shallo, wote walitaka kukabidhiwa cheti, ingawa tangazo lilitolewa kwamba kulikuwapo na hitilafu, hivyo cheti hicho hakingeweza kutolewa.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics