The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Na Andrew Shonko
Miaka sita iliyopita siku kama ya leo Februari 14, 2011 aliyekuwa mshambuliaji tajika wa taifa la Brazil Ronaldo Luís Nazário de Lima almaarufu ‘Ronaldo’ alitangaza kustaafu kwake. Nyota huyo aliyefunga zaidi ya mabao 400 na kucheza zaidi ya mechi 600 ana mengi ya kukumbukwa.
Ronaldo alianza soka yake katika klabu ya Cruzeiro akiwa na umri wa miaka 16. Timu nyingine alizozichezea ni PSV Eindhoven, Barcelona, AC Milan , Inter Milan, Real Madrid na akamalizia Corinthians. Ndoto ya wengi kumwona akicheza wingereza haikutimia baada ya jaribio la kujiunga na Manchester City kutibuka.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.