Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Ronaldo atangaza kustaafu

Na Andrew Shonko
Miaka sita iliyopita siku kama ya leo Februari 14, 2011 aliyekuwa mshambuliaji tajika wa taifa la Brazil Ronaldo Luís Nazário de Lima almaarufu ‘Ronaldo’  alitangaza kustaafu kwake. Nyota huyo aliyefunga zaidi ya mabao 400 na kucheza zaidi ya mechi 600 ana mengi ya kukumbukwa.

Ronaldo alianza soka yake katika klabu ya Cruzeiro akiwa na umri wa miaka 16. Timu nyingine alizozichezea ni PSV Eindhoven, Barcelona,  AC Milan , Inter Milan, Real Madrid na akamalizia Corinthians. Ndoto ya wengi kumwona akicheza wingereza haikutimia baada ya jaribio la kujiunga na Manchester City kutibuka.  

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics

Ronaldo Brazil