Na Carren Omae
Katika hatua ya kutafuta uungwaji mkono kutoka maeneo yote nchini, Chama cha Labour Party of Kenya LPK kinatarajiwa kuendeleza ziara katika maeneo mbalimbali ya Pwani. Kwenye taarifa, Katibu Mkuu wa chama hicho, David Makali amesema ziara hiyo inatarajiwa kuanza wikendi hii.