Mauaji Ya Watoto Bungoma

Polisi mjini Bungoma wanawasaka kwa udi na uvumba watu wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya watoto wawili wa familia moja. Kisa hicho cha kusikitisha kilitokea katika mtaa wa mukhweya wilaya ya Bungoma. Wenyeji wamehofia kuwa huenda kuna misururu ya mauaji baada ya watoto wawili kuawa wiki mbili zilizopita huyu hapa Muhammed Ali na maelezo kamili.