×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Mauaji Ya Watoto Bungoma

Polisi mjini Bungoma wanawasaka kwa udi na uvumba watu wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya watoto wawili wa familia moja. Kisa hicho cha kusikitisha kilitokea katika mtaa wa mukhweya wilaya ya Bungoma. Wenyeji wamehofia kuwa huenda kuna misururu ya mauaji baada ya watoto wawili kuawa wiki mbili zilizopita huyu hapa Muhammed Ali na maelezo kamili.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in