Constitution Review

Shughuli ya marekebisho ya katiba inatarajiwa kuchukua mkondo mpya hapo kesho wakati bunge litakapoiwasilisha rasimu ya katiba kwa mwanasheria mkuu wa serikali Amos Wako. Wako anatarajiwa kukichapisha kielelezo hicho katika kipindi kisichozidi siku 30 kutoka sasa na hivyo kutoa nafasi kwa wakenya kukipigia kura mwezi mmoja baada ya zoezi la uhamasisho.

Related Topics

Constitution Review