Sepetuko Podcast; FKF imekuwa kaburi la kuzika vipawa vya soka
Published Nov. 16, 2021
00:00
00:00

Vijana wakiwa shuleni ni mashujaa katika kucheza soka. Lakini punde wakishajiunga na sekta ya soka nchini vipawa hufa; sababu ni FKF kutowapa nafasi watu wanaoweza kuongoza soka kwa roho safi ili kuboresha viwango vya mchezo huo nchini.