Sepetuko Podcast; Kumzuia Miguna Miguna kunaipa serikali sifa mbaya
Published Nov. 18, 2021
00:00
00:00

Suala la raia wa Kenya kila mara kukwama katika viwanja vya ndege barani ulaya, huku ikidaiwa kwamba serikali ya Kenya imemzuia asirejee nchi aliyozaliwa, linaifanya Kenya kuchekwa na mataifa ya wazungu; ni hali inayochangia katika utani dhidi ya waafrika!