Kuondolewa kwa mkuu wa magereza Whycliffe Ogallo kulifanywa kana kwamba alikuwa ndiye mfungwa wa Kamiti aliyekuwa ametoroka jela. Kuwaondoa wakubwa afisini kwafaa kuandamana na heshima zinazoendana na daraja la afisi zao.
Kuondolewa kwa mkuu wa magereza Whycliffe Ogallo kulifanywa kana kwamba alikuwa ndiye mfungwa wa Kamiti aliyekuwa ametoroka jela. Kuwaondoa wakubwa afisini kwafaa kuandamana na heshima zinazoendana na daraja la afisi zao.