Hoteli zinatazamia kukusanya faida msimu wa likizo ya krisimasi, magari ya matatu pia yanajiandaa kufaidika zaidi msimu wa likizo hasa kwa kuwa msimu wa Korona uliathiri vibaya shughuli zao. Je serikali itatekeleza vipi maagizo kwamba wakenya ambao hawajachanjwa wanyimwe huduma?
