Mwaka 1988 kama mkenya angetamka jina Raila katika mazingira rasmi au ya umma, angejipata pabaya mbele ya vyombo vya serikali. Leo hii jamaa wa jina hilo (Raila) anaitwa BABA! Ni ishara ya Kenya kubadilika.
Mwaka 1988 kama mkenya angetamka jina Raila katika mazingira rasmi au ya umma, angejipata pabaya mbele ya vyombo vya serikali. Leo hii jamaa wa jina hilo (Raila) anaitwa BABA! Ni ishara ya Kenya kubadilika.