Kilio cha Mfanyakazi Mkenya
Published May. 02, 2024
00:00
00:00

Kenya inaungana na dunia kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi. Sepetuko inakariri kuwa mfanyakazi Mkenya hana lolote la kusherehekea. Mishahara ni duni, ushuru anaotozwa ni maradufu, mazingira anamofanyia kazi ni duni na masaibu mengine mengi anayokumbana nayo.