×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Rigathi Gachagua apuuza madai kwamba kuna mgawanyiko Kenya Kwanza

Naibu wa Rais Rigathi Gachagua ameendelea kuwashauri wanasiasa wa eneo la Kati ya Nchi kuunga mkono serikali iliyopo kwa manufaa ya wakazi wa Mlima Kenya.

Akizungumza katika kaunti ya Nyeri alipoongoza halfa ya kufuzu kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mt. Kenya, Naibu huyo wa Rais, amesisitiza kwamba sasa msimu wa siasa umeisha na kwamba kuna haja ya viongozi wa matabaka mbalimbali kuungana.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in