×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Wanasayansi watafuta njia za kutengeneza chakula cha Flamingo

Ziwa Nakuru ni maarufu kwa maelfu ya ndege aina ya flamingo, na ndicho kivutio kikubwa cha watalii nchini Kenya lakini katika miaka ya hivi karibuni, kupungua kwa idadi ya ndege hao kumeshuhudiwa, ambapo wataalamu wanasema hali hii imesababishwa na ongezeko la maji ziwani humo na kuchangia ukosefu wa chakula. Kwa sasa wanasayansi wameanzisha mchakato wa kutafuta chakula mbadala kuwasaidia ndege hao aina ya flamingo.

Get Full Access for Ksh299/Week
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in