×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Watu 18 akiwamo Meya wa Kusini mwa Mexico wameaga dunia

Shambulio limetokea kwenye Jimbo la Guerrero, Mexico [Istock]

Watu kumi na wanane akiwamo Meya wa Kusini mwa Mexico wameaga dunia nchini Mexico kufuatia shambulio lililotekelezwa na watu wasiojulikana.

Kulingana na Televisheni ya Milenio nchini humo, shambulio hilo limetekelezwa katika Eneo la San Miguel Totolapan kwenye Jimbo la Guerrero.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in