×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

MARADHI YA AJABU: Jinsi ugonjwa wa mapumbu/ngirimaji unavyowahangaisha wanaume Kilifi

16th December, 2019

Ugonjwa wa mapumbu au ngiri maji unaendelea kuwa tishio la kiafya kwa wanaume wengi eneo la pwani na zaidi kaunti ya Kilifi. Katika kaunti hii baadhi ya waume wameachwa na wake zao huku ndoa zikivunjika sababu kuu kutotosheleza haki zakindoa. Ni ugonjwa adimu ila wa kutisha kwani unafurisha na kuvimbisha sehemu za siri na kumuacha muathiriwa kuonekana kama amebeba mzigo katikati ya miguuni pake. Mwanahabari wetu wa Pwani Tobias Chanji alitangamana na baadhi ya wagonjwa hawa wakati wa kambi ya matibabu katika kaunti ya Kilifi na kuandaa taarifa ifwatayo.

.
RELATED VIDEOS