Shoka la KTN: Edwin Sifuna akumbwa na vurugu, polisi wafyatua risasi na vitoa machozi
VISA VYA HIVI KARIBUNI VYA WANANCHI KUPIGWA RISASI KIHOLELA NA KUTUPIWA VITOA MACHOZI HATA PASIPOFAA VIN ...
2 hours ago
2 hours ago
Shoka la KTN: Edwin Sifuna akumbwa na vurugu, polisi wafyatua risasi na vitoa machozi
VISA VYA HIVI KARIBUNI VYA WANANCHI KUPIGWA RISASI KIHOLELA NA KUTUPIWA VITOA MACHOZI HATA PASIPOFAA VINAZIDI KUPAKA TOPE IDARA YA POLISI. NA TUNAPOELEKEA MWAKA WA UCHAGUZI ,KUNA HAJA YA KUCHUKA NAFASI KUTAFAKARI , KWA MFANO , VURUGU NA MAUTI KWENYE MKUTANO WA EDWIN SIFUNA WIKENDI ILIYOPITA ILISABABISHWA NA POLISI AMBAO WALIFYATUA RISASI NA VITOA MACHOZI .
2 hours ago