×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Siasa za Fiche: Mkutano wa faragha Transmara waanika mazungumzo ya ODM na UDA

30th December, 2025

Mwelekeo wa chama cha ODM na mustakabali wa siasa za upinzani nchini huenda ukabadilika, KTN ikibaini kufanyika kwa mikutano ya siri kati ya uongozi wa ODM na chama tawala cha UDA. Inadaiwa kuwa Rais William Ruto alikutana kwa faragha na viongozi wakuu wa ODM katika eneo la Transmara siku ya Krismasi, kwenye mazungumzo ambayo wadadisi wanasema yalilenga kudhoofisha ODM kutoka ndani na hatimaye kuvuta chama hicho kuingia kwenye UDA kabla ya uchaguzi wa 2027. Mwandishi wetu, Herman Kamariki, na taarifa hiyo kwa kina

.
RELATED VIDEOS