×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Gideon Kyalo ateuliwa kwa tuzo ya kimataifa ya elimu Dubai

13th February, 2018

Katika hamu yao ya kutaka kufahamu yanayoendelea nchini kila siku, wakongwe wapatao hamsini katika kaunti ya Migori na wameamua kumpa mwanamume mmoja kazi ya kuwasimulia yaliyomo kwenye magazeti. Charles Juma amekuwa akiwaelimisha wazee hawa kutoka number junction katika eneo bunge la Suna West kwa miaka mitano sasa

.
RELATED VIDEOS