13th February, 2018
Katika hamu yao ya kutaka kufahamu yanayoendelea nchini kila siku, wakongwe wapatao hamsini katika kaunti ya Migori na wameamua kumpa mwanamume mmoja kazi ya kuwasimulia yaliyomo kwenye magazeti. Charles Juma amekuwa akiwaelimisha wazee hawa kutoka number junction katika eneo bunge la Suna West kwa miaka mitano sasa