×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mazingira magumu wanayoyapitia wanafunzi wa shule ya msingi ya Nachurur, Pokot Magharibi

17th January, 2016

Je mazingira ya shuleni huathiri matokeo ya wanafunzi masomoni? Bila shaka jibu la swali hilo limo katika shule moja ya msingi katika kaunti ya Pokot Magharibi ambapo wanafunzi hawana vifaa vya masomo yao. Kamche Menza anaangazia mazingira magumu wanayopitia wanafunzi wa shule ya msingi ya Nachurur ambayo pia ina upungufu mkubwa wa walimu.
.
RELATED VIDEOS