×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Anne Waiguru ajitetea kwa kumlaumu katibu wake mhandisi Peter Mangiti

4th November, 2015

Waziri wa ugatuzi Anne Waiguru amemlaumu katibu wake mhandisi Peter Mangiti kwa ubadhirifu ambao umeshuhudiwa katika idara ya uhasibu katika wizara yake. Waziri Waiguru amesema kuwa yeye hahusiki na mswala ya ununuzi. Haya yanajiri wakati mbunge wa Nandi Alfred Keter akipata kuungwa zaidi katika mswada wake wa kumuondoa waziri waiguru mamlakani. Hussein Mohammed anaarifu.
.
RELATED VIDEOS