×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mdahalo wa wikendi: Tunaangazia uwezo wa jamii kukuza talanta na kuifanya kitega uchumi

15th March, 2014

Ignatius Juma ni kijana mwenye umri wa miaka 20 ambaye alivuma katika filamu ya “Kibera Kid” iliyoshinda tuzo nyingi kimataifa katika mwaka wa 2006. Wakati huo Ignatius alikuwa na miaka 12 na japo nyota yake ya uigizaji iling’aa wakati huo, Ignatius hajasikika wala kuonekana katika sanaa ya uigizaji tangu wakati huo. Mashirima kapombe alikutana naye Ignatius na kutuandalia taarifa ifuatayo ambayo inahoji uwezo wa jamii kukuza talanta na kuifanya kitega uchumi.
.
RELATED VIDEOS