×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mpenzi wa mke wa Tuju atiwa nguvuni

31st May, 2013

Mwanamme mmoja anaeyesemekana kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mkewe aliyekuwa waziri na mbunge wa Rarieda Raphael Tuju anazuiliwa na polisi kwa kosa la kuingia nyumbani kwa tuju bila ya idhini. Tony Ogunda ambaye na kesi mahakamani inayohusu uhusiano wake na mke wa waziri huyo wa zamani , hata hivyo amemshtaki tuju akidai alipewa kichapo kabla ya kutiwa nguvuni. Tuju na mkewe Rachel wameshafika mahakamani kutaka kutalakiana.
.
RELATED VIDEOS