×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Watu 17wafariki katika ajali Kilifi na Voi

23rd February, 2013

watu kumi na saba walifariki kufuatia ajali mbili, katika maeneo ya Voi na Kilifi mapema hii leo. Huko watu kumi na wawili wakifariki papo hapo, baada ya basi lao lililokuwa likielekea Mombasa kutoka Nairobi kugongana na lori. Huko kilifi watu watanao waliangamia kwenye ajali baada ya matatu ya abiria kugongana na gari la watalii.
.
RELATED VIDEOS