×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

News : Abiria 19 wauawa katika ajali Molo

2nd January, 2013

Watu 19 wamethibitishwa kufariki na wengine 13 kujeruhiwa katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea katika barabara ya Olengu-ruoine kuelekea Molo. Inakisiwa kuwa matatu hiyo iliyopoteza mwelekeo na kuanguka kwenye timbo ilikuwa imebeba abiria 28 badala ya idadi rasmi ya abiria kumi na wanne wanaohitajika.watu wengine 6 walifariki katika ajali ya barabarani usiku wa jana katika kaunti ya meru. Je kunani? Watch KTN Streaming LIVE from Kenya 24/7 on http://www.ktnkenya.tv
.
RELATED VIDEOS