×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Dereva wa madaktari wawili wa Cuba ambao walitekwa nyara ahukumiwa kifungo cha maisha

23rd March, 2022

Dereva wa madktari wawili wa Cuba waliotekwa nyara katika kaunti ya Mandera na kupelekwa nchini Somalia mwaka 2019 amehukumiwa kifungo cha maisha jela. Issack Ibrein Robow atahudumia kifungo hicho cha maisha kwa kufanya kitendo cha kusaidia ugaidi kilichosababisha kifo cha afisa mmoja wa polisi. Hakimu mkuu Martha Nanzushi pia alimuadhibu kifungo cha miaka 40 na miezi sita jela kwa makosa mengine matatu.

 

.
RELATED VIDEOS