×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Magavana wamlaumu wizara ya fedha Ukur Yatani kwa kuchelewesha fedha za kaunti

29th June, 2021

Uhaba wa fedha na ucheleweshaji wa mgao wa fedha zinazotengewa serikali za kaunti kutoka wizara ya fedha  kwenye kaunti  ni moja wepo wa changamoto ambazo zimeathiri utekelezaji wa ugatuzi nchini  tangu katiba ya mwaka 2010 ianze kutekelezwa…haya ni kulingana na mwenyekiti wa baraza la magavana Martin Wambora ambaye ametoa taswira inayotathmini safari ya utekelezaji wa ugatuzi nchini…wambora hata hivyo amesisitiza kuwa afya imeimarishwa zaidi kwenye kaunti kufikia sasa kama anavyoarifu Daniel Kariuki

 

.
RELATED VIDEOS