×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Jicho Pevu: Kibubusa cha Kanjo (03/04/2016)

3rd April, 2016

Je wajua kuna mtandao mkubwa wa maafisa wa kaunti ya Nairobi unaotumia mbinu kadhaa za hadaa kupata mamilioni ya fedha kinyume cha sheria? Mwanahabari wetu mpekuzi mohamed ali ameyavalia njuga madai ya wachuuzi kwamba ili waruhusiwe kuuza kando kando ya barabara ama hata kwenye masoko ya jijini lazima watoe mlungula wa kila siku kwa watu fulani. Kwenye makala maalum, kibubusa cha kanjo, Mohammed Ali anawafichua maafisa wa kaunti wanaoongoza mtandao huo
.
RELATED VIDEOS